Tuzo za Mo Simba Awards zimefanyika leo Kilimanjaro Hotel jijini Dar es salaam. Hawa hapa washindi waliotuzwa leo;
1. Kipa Bora wa Mwaka : Aishi Manula
2. Beki Bora wa Mwaka : Erasto Nyoni
3. Kiungo Bora wa Mwaka : James Kotei
4. Mshambuliaji Bora wa Mwaka : John Bocco
5. Mchezaji Bora Mdogo : Rashid Juma
6. Mchezaji Bora Mwanamke :Mwanahamisi Omary
7. Tuzo ya Wachezaji : Erasto Nyoni
8. Mfungaji Bora wa Mwaka : Meddie Kagere
9. Tuzo ya Heshima : Azim Dewji
10. Goli Bora la Mwaka : Clatous Chama
11. Mchezaji Bora wa Mwaka : Meddie Kagere

No comments:
Post a Comment