We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, May 31, 2019

BREAKING: MJUMBE WA KAMATI YA UTENDAJI YANGA AFARIKI

Klabu ya Yanga imepata pigo kufuatia kifo cha mjumbe wake wa kamati ya Utendaji Felix Kibodya.
Kibodya amefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda.
Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela amethibitisha taarifa hizo za kifo cha Kibodya.

Mwakalebela amesema Yanga imepata pigo kutokana na msiba huo kwani walikuwa wanategemea nguvu kubwa kutoka kwa marehemu juu ya taaluma yake ya sheria.
Mwakalebela ameongeza kuwa kwasasa klabu yao inafuatilia msiba huo kwa karibu kujua utaratibu wa kamili na kwamba baada ya hapo wataujulisha uma.
Aidha Mwakalebela amesema kuwa uongozi wao ulikuwa na taarifa za kuugua kwake ambapo alianza kupata matatizo ya afya siku chache baada ya kuteuliwa.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list