We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, April 29, 2019

MCHEZAJI WA YANGA AJIUNGA NA ARSENAL KIEV

Mshambuliaji Kinda wa Tanzania, Yohana Nkomola amefanikiwa kujiunga na klabu ya Arsenal Kiev inayoshiriki ligi kuu ya nchini Ukraine kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kufanikiwa majaribio katika timu hiyo.

Akizungumza na www.eatv.tv, kaka wa mchezaji huyo wa zamani wa Yanga, Stanley Nkomola amesema kuwa mchezaji huyo alikwenda kwenye majaribio katika klabu hiyo pamoja na beki wa Mtibwa Sugar, Nikson Kibabage Lakini Mkomola akapata bahati ya Kufuzu majaribio hayo.
Yohana Nkomola ni miongoni kwa wachezaji waliwahi kuichezea Timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, katika mashindano ya AFCON nchini Gabon mwaka 2017 na baadaye alisajiwa na Yanga Sc.
Kwa pindi chote ambacho alicheza Yanga, Nkomola hakupata nafasi ya kutosha ya kucheza, ambapo baadaye aliamua kuvunja mkataba na mabingwa hao wa kihistoria nchini.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list