Mbunge wa Kaliua, Naibu Katibu Mkuu CUF, Magdalena Sakaya amesema kuwa anatamani kuwa mwanamke wa kwanza kwenye nchi hii kuwa Rais.
Sakaya amesema kuwa kwasasa yupo njiani anapiga hatua kwenda mbele kwenye uongozi wake.
"Natamani nije hata nigombee Urais wa Nchi hii ndio ninacho tamani nije niwe Waziri Mkuu nikitoka hapo niwe Rais au niende Urais au niwe mwanamke wa kwanza kwenye nchi hii kuwa Rais wa kuongoza nchi hii kwa hiyo hapa nipo njiani napiga hatua kwenda mbele," Alisema Sakaya.

No comments:
Post a Comment