We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, April 29, 2019

Kesi uhujumu uchumi inayowakabili Polisi 8 yaanza kusikilizwa leo Mwanza


Kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha inayowakabili waliokuwa askari polisi wanane mkoani Mwanza, inaanza kusikilizwa leo kwa mara ya kwanza, katika mahakama ya hakimu mkazi Mwanza.

Kesi hiyo namba 1 ya mwaka 2019 inasikilizwa na hakimu mkazi mfawidhi Rhoda Ngimilanga.

Washitakiwa wanne katika kesi hiyo ambao ni wafanyabiashara wa madini ya dhahabu walikiri makosa yao na kuhukumiwa kifungo cha miaka 15 jela au kulipa faini ya zaidi ya shilingi milioni 500.

Hata hivyo walilipa faini na kuachiliwa huru, huku madini yenye thamani ya shilingi bilioni 27, magari mawili, mzani wa kupimia dhahabu na fedha taslimu shilingi milioni 305 zikitaifishwa na serikali.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list