We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Friday, February 1, 2019

ATCL Yazindua Mfumo Wa Uuzaji Wa Tiketi Zake Kwa Mtandao Duniani Kote

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) Injinia Emmanuel Korosso kushoto nia Mkurugenzi wa Shirika hilo Injinia Ladlsaus Matindi wakizindua ofisi ya kuuzia tiketi za shirika hilo lililopo Makao Makuu yake Mtaa wa Ohio jijini Dar es salaam ambapo pia imezindua mtandao wake kuuza tiketi mahali popote duniani na kukusanya mauzo kwa  mfumo wa Shirikisho la Mashirika ya Ndege Duniani (IATA)  kutokana na kukidhi viwango vya uanachama wa shirikisho hilo.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list