We are currently working on a new website.
Stay tuned for more information.

to stay updated on our progress.

Monday, June 10, 2019

Rais Kim Jong Un aanza utekelezaji wa adhabu mpya ya kifo aliyojifunza kwenye filamu ya James Bond, Atakayekutwa na hatia kugeuzwa kitoweo

Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un amefanya majaribio ya njia mpya ya adhabu ya kifo kwa kumuadhibu kiongozi mmoja wa jeshi nchini humo aliyedaiwa kupanga jaribio la kuipindua serikali yake.



Adhabu hiyo ya kifo kwa sasa itakuwa ni ya kudumbukizwa kwenye bwawa la samaki wakali aina ya Piranhas ili abaki kuwa kitoweo cha samaki hao.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Mail limeeleza kuwa adhabu imeanza kutumiwa kwa mara ya kwanza kupitia kwa kiongozi huyo wa jeshi.
Mabwawa hayo ya kisasa (Aquarium) yamejengwa katika makazi ya Rais Kim Jong yaliyopo Ryongsong mjini Pyongyang.
Hata hivyo, kwa mujibu wa picha zilizopigwa na kituo cha runinga cha taifa hilo, zilimuonesha mhukumiwa huyo akihangaika kwenye mabwawa hayo huku akionekana hana mikono na miguu.
Mpango wa adhabu hiyo mpya, imeelezwa kuwa wazo lilitoka katika filamu ya “The spy who loved me” ambapo kwenye filamu hiyo kuna watu wanahukumiwa kwa kudumbukizwa kwenye bwawa la Papa.
Imeripotiwa kuwa tangu Rais Kim aingie madarakani mwaka 2011, ametekeleza adhabu ya vifo kwa watu 16 wakiwemo viongozi 11 wa serikali yake.

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Report Abuse

About Me

TAARIFA MPYA KUHUSU APP YETU KAMA BADO HUPATI HABARI ZETU

Habari!! Ni kipindi cha takribani wiki 1 kimepita ukiwa hupati habari, tunaomba radhi kwasababu tumekuwa tukifanya maboresho zaidi. Leo ...

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

Labels

Mobile Logo Settings

Mobile Logo Settings
image
recent/hot-posts

Random Posts

3/random/post-list

Recent Posts

3/recent/post-list